LIVE STREAM ADS

Header Ads

Rais Samia kuzindua kiwanda cha kusafisha dhahabu Mwanza

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Jumapili Juni 13, 2021 anatarajiwa kuzindua kiwanda cha kisasa cha kusafisha dhahabu Mwanza kinachomilikiwa kwa ubia na mwekezaji/ Rozella kutoka Dubai pamoja na Shirika la Taifa la Madini (STAMICO).
Tazama BMG TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.