LIVE STREAM ADS

Header Ads

Chalamila atoa ratiba ya ziara ya Rais Samia mkoani Mwanza

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Mkuu wa Mkoa Mwanza, Albert Chalamila amewahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi kumlaki Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwenye ziara ya kikazi anayotarajiwa kuifanya kuanzia Juni 13-15, 2021 ambapo atakagua na kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Mkuu wa Mkoa Mwanza, Albert Chalamila akitoa taarifa kwa umma kuhusiana na ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan kuanzia Juni 13-15, 2021.
Kutoka kushoto ni Katibu Tawala Mkoa Mwanza Ngusa Samike, Mkuu wa Mkoa Mwanza Albert Chalamila pamoja na Kamanda wa Polisi Mkoa Mwanza Ramadhan Ngh'azi.
Tazama BMG TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.