MUSUKUMA amkaanga DIALLO, amuonya vikali, asithubutu tena
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Siku chache baada ya Mwenyekiti wa CCM Mkoa Mwanza, Antony Diallo kusikika akilalamikia masuala mbalimbali yanayohusishwa na uongozi uliopita wa Serikali ya awamu tano, Mbunge wa Geita Joseph Musukuma ameibuka na kumuonya vikali Mwenyekiti huo.
Tazama BMG TV hapa chini
SOMA>>> Habari zaidi hapa
No comments: