BITEKO akutana na wafanyabiashara wa madini, atoa onyo kali
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama ripotabmg@gmail.com
Waziri wa Madini, Dkt. Biteko amekutana na wafanyabiashara wa madini (Dealers & Brokers) na kutumia fursa hiyo kuwaonya wale wenye tabia yakuingia ushirika na wawekezaji kutoka nje ya nchi ili wawakusanyie madini lakini wanawatapeli.
Tazama BMG TV hapa chini
SOMA>>> Habari zaidi hapa
No comments: