Miaka 26 tangu MV Bukoba izame, hali ilivyo eneo la makaburi Mwanza
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Online Media. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama ripotabmg@gmail.com
Imetimia miaka 26 tangu meli ya MV. Bukomba izame Mei 21, 1996 na kusababisha taifa la Tanzania kugubikwa na majonzi. BMG TV tunakuletea kumbukizi ya hiyo.
Tazama BMG TV hapa chini
SOMA>>> Habari zaidi kuhusu MV. Bukoba
No comments: