Meya Mwanza acharuka ujenzi soko la Mlango Mmoja kutokamilika
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama ripotabmg@gmail.com
Mstahiki
Meya wa Jiji la Mwanza, Sima Costantine ameeleza kukerwa na ujenzi wa vibanda
45 katika soko la mitumba Mlango Mmoja vilivyopaswa kujengwa baada ya upande
mkoja wa soko hilo kuungua moto Septemba 2018.
Tazama BMG TV hapa chini
SOMA>>> Habari zaidi hapa
No comments: