LIVE STREAM ADS

Header Ads

Wanafunzi Chuo Kikuu Mzumbe wajengewa uwezo

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama ripotabmg@gmail.com
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mzumbe wakifuatilia mada
Afisa Rasilimali watu wa kampuni ya Barrick North Mara, Gema Salamba, akiongea na wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Mzumbe mkoani Morogoro wakati wa kongamano hilo lililodhaminiwa na kampuni ya Barrick.
Afisa Rasilimali watu wa kampuni ya Barrick North Mara, Gema Salamba, akiongea na wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Mzumbe mkoani Morogoro wakati wa kongamano hilo lililodhaminiwa na kampuni ya Barrick.
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mzumbe wakiuliza maswali mbalimbali kwa watoa mada.
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mzumbe wakiuliza maswali mbalimbali kwa watoa mada.
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mzumbe wakiuliza maswali mbalimbali kwa watoa mada.
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mzumbe wakifuatilia mada.
Kaimu Mkurugenzi wa Kitengo cha Mahusiano na taasisi za Nje cha Chuo Kikuu cha Mzumbe, Dk. Lucy Massoi (wa pili kulia) akibadilishana mawazo na Afisa Rasilimali Watu wa Barrick Bulyanhulu, Abusiti Kajolo ( kushoto) wakati wa kongamano hilo la AIESEC,(katikati) ni Mkurugenzi wa Sheria na Utawala wa Fedha AIESEC Tanzania, Modesta Msokwa.
****

Wanafunzi wa vyuo vikuu nchini wametakiwa kuchangamkia fursa mbalimbali za ajira na kujiajiri zilizopo nchini sambamba na kutambua vipaji vyao na kuviendeleza.

Hayo yamebainishwa wakati wa kongamano lilioandaliwa na taaisi ya AIESEC lililofanyika katika Chuo Kikuu cha Mzumbe cha Morogoro na kujumuisha wanafunzi wengine kutoka vyuo mbalimbali vya elimu ya juu kwa udhamini wa kampuni ya Barrick.

No comments:

Powered by Blogger.