Mtangazaji Alloyce Nyanda ajilipua sakata la bandari, DP World
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama ripotabmg@gmail.com
Mtangazaji nguli nchini, Alloyce Nyanda ametoa maoni yake kuhusiana na sakata la mkataba wa uwekezaji baina ya Serikali ya Tanzania na Dubai na kushauri Serikali kuzikiliza zaidi maoni ya wananchi ambao ndio wenye nchi.
Tazama BMG TV hapa chini
SOMA>>> Habari zaidi hapa
No comments: