LIVE STREAM ADS

Header Ads

Wafanyakazi Barrick Bulyanhulu wapongezwa kwa Tuzo za Afya na Usalama

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama ripotabmg@gmail.com
Meneja Mkuu wa Barrick Bulyanhulu, Cheick Sangare akiongea katika hafla hiyo.
Meneja wa Usalama katika mgodi wa Bulyanhulu, Duncan Mclaren akiongea katika hafla hiyo.
Mfanyakazi wa Barrick Bulyanhulu, Hassan Kalegeya akipokea cheti kutoka kwa Meneja Mkuu wa Mgodi, Cheick Sangare (kushoto)
WalterBlanca Nshimah akipokea cheti
Waziri Kazuvi akipokea cheti
Flora Zakaria akipokea cheti
Emmanuel Mwakanyopole akipokea cheti
Charles Hiza akipokea cheti
Azaely Kitange akipokea cheti
Wafanyakazi wa Mgodi wa Barrick Bulyanhulu walioshiriki maonesho ya OSHA na kufanikisha ushindi wakiwa katika picha ya pamoja na Meneja Usalama wa Mgodi wa mgodi huo Duncan Mclaren wakati wa hafla hiyo.
****

Mgodi wa Barrick Bulyanhulu umewapongeza wafanyakazi wake walioshiriki katika maonyesho ya OSHA 2023 yaliyofanyika mkoani Morogoro, ambapo ulifanikiwa kushinda tuzo kubwa ya mshindi wa juu wa jumla pia ilinyakua tuzo ya uandaaji Ripoti Bora ya Tathmini ya Hatari katika uchimbaji madini na mshindi Bora wa tuzo ya Usalama na afya (OHS) katika sekta ya madini.

Hafla ya kuwapongeza wafanyakazi hao ilifanyika katika mgodi wa Bulyanhulu ambapo walitunukiwa vyeti na Meneja Mkuu wa mgodi huo, Cheick Sangare,ambaye alisema kampuni itaendelea kuhakikisha sera yake ya usalama inatekelezwa kwa vitendo.

No comments:

Powered by Blogger.