Mahojiano na Aposte Joel Yamo kuhusu maono ya kujenga kanisa
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama ripotabmg@gmail.com
Mtume Joel Yamo anayepatikana jijini Mwanza amejitokeza na kuomba msaada ili kufanikisha maono yake ya kumjengea Mungu kanisa kubwa, zuri na la kisasa hatua itakayosaidia injili kuwafikia watu wengi zaidi.
Tazama BMG TV hapa chini
SOMA>>> HABARI ZAIDI HAPA
No comments: