LIVE STREAM ADS

Header Ads

Wanahabari 72 wapata uanachama RUJAT

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano +255 757 432 694 ama ripotabmg@gmail.com
Kamati ya Utendaji ya Chama cha Waandishi wa Habari Vijijini Tanzania (RUJAT) katika kikao chake kilichofanyika mjini Morogoro, Novemba 22, 2023, kwa mamlaka kiliyopewa na Mkutano Mkuu wa RUJAT, pamoja na mambo mengine kimejadili maombi 77 ya uanachama na kupitisha waombaji 72 kuwa wanachama wapya.

Hatua hii imeongeza idadi ya wanachama kufikia 109.

RUJAT inawakaribisha tuungane katika kujenga tasnia ya habari inayojali maslahi ya jamii vijijini.

Majina ya wanachama wapya ni haya yafuatayo:


Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari Vijijini (RUJAT), Neville Meena akizungumza wakati wa kikao cha kamati tendaji ya RUJAT.
Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari Vijijini (RUJAT), Neville Meena akizungumza wakati wa kikao cha kamati tendaji ya RUJAT.
Katibu wa Chama cha Waandishi wa Habari Vijijini (RUJAT), Prosper Kwigize akizungumza wakati wa kikao cha kamati tendaji ya RUJAT.
Katibu wa Chama cha Waandishi wa Habari Vijijini (RUJAT), Prosper Kwigize akizungumza wakati wa kikao cha kamati tendaji ya RUJAT.

No comments:

Powered by Blogger.