LIVE STREAM ADS

Header Ads

Rais Samia atunukuwa tuzo kwa kuimarisha uhuru wa habari

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano +255 757 432 694 ama ripotabmg@gmail.com
Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika Tawi la Tanzania (MISA TAN) , Wakili James Marenga (kulia) akikabidhi tuzo ya kufanikisha kulinda Uhuru wa Vyombo vya Habari nchini Tanzania kwa Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan.


Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika Tawi la Tanzania (MISA TAN) imetoa Tuzo kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kufanikisha kulinda Uhuru wa Vyombo vya Habari nchini Tanzania.

 Chini ya Uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Tanzania imeshika nafasi ya kwanza katika nchi zinazolinda uhuru wa vyombo vya habari Afrika Mashariki . Pia katika upimaji wa uhuru wa habari duniani kuitoa Tanzania nafasi ya 143 mwaka 2023 hadi 97 mwaka 2024 kulingana na utafiti uliotolewa na Reporters Without Borders (RFS) Mei 3,2024.

Tuzo hiyo imekabidhiwa na Makamu Mwenyekiti wa MISA TAN, Wakili James Marenga kwa Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi kwa niaba ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Ijumaa Mei 31,2024 wakati wa Kongamano la Siku mbili la Kufanya Tathmini ya Hali ya uhuru wa Kujieleza, Haki ya Kupata Taarifa na Uhuru wa Wana Habari mwaka 2024 linalofanyika Jijini Dar es salaam ambapo mgeni rasmi alikuwa Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi.

"Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kipindi cha uongozi wake amefanikisha kwa kiasi kikubwa kufufua haki za wanahabari na vyombo vya habari nchini" amesema Wakili Marenga.
Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika Tawi la Tanzania (MISA TAN), Wakili James Marenga (kulia) akikabidhi tuzo ya kufanikisha kulinda Uhuru wa Vyombo vya Habari nchini Tanzania kwa Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika Tawi la Tanzania (MISA TAN), Wakili James Marenga (kulia) akikabidhi tuzo ya kufanikisha kulinda Uhuru wa Vyombo vya Habari nchini Tanzania kwa Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi akizungumza wakati wa Kongamano la Siku mbili la Kufanya Tathmini ya Hali ya Kujieleza, Haki ya Kupata Taarifa na Uhuru wa Wana Habari Jijini Dar es salaam.
Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi akizungumza wakati wa Kongamano la Siku mbili la Kufanya Tathmini ya Hali ya Kujieleza, Haki ya Kupata Taarifa na Uhuru wa Wana Habari Jijini Dar es salaam.
Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi akizungumza wakati wa Kongamano la Siku mbili la Kufanya Tathmini ya Hali ya Kujieleza, Haki ya Kupata Taarifa na Uhuru wa Wana Habari Jijini Dar es salaam.
Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi akizungumza wakati wa Kongamano la Siku mbili la Kufanya Tathmini ya Hali ya Kujieleza, Haki ya Kupata Taarifa na Uhuru wa Wana Habari Jijini Dar es salaam.
Makamu Mwenyekiti wa MISA TAN, Wakili James Marenga (kulia) akiteta jambo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi wakati wa Kongamano la Siku mbili la Kufanya Tathmini ya Hali ya Kujieleza, Haki ya Kupata Taarifa na Uhuru wa Wana Habari Jijini Dar es salaam.
Makamu Mwenyekiti wa MISA TAN, Wakili James Marenga akizungumza wakati wa Kongamano la Siku mbili la Kufanya Tathmini ya Hali ya Kujieleza, Haki ya Kupata Taarifa na Uhuru wa Wana Habari Jijini Dar es salaam.
Makamu Mwenyekiti wa MISA TAN, Wakili James Marenga akizungumza wakati wa Kongamano la Siku mbili la Kufanya Tathmini ya Hali ya Kujieleza, Haki ya Kupata Taarifa na Uhuru wa Wana Habari Jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi wa MISA TAN, Elizabeth Riziki akizungumza wakati wa Kongamano la Siku mbili la Kufanya Tathmini ya Hali ya Kujieleza, Haki ya Kupata Taarifa na Uhuru wa Wana Habari Jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi wa MISA TAN, Elizabeth Riziki akizungumza wakati wa Kongamano la Siku mbili la Kufanya Tathmini ya Hali ya Kujieleza, Haki ya Kupata Taarifa na Uhuru wa Wana Habari Jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi wa MISA TAN, Elizabeth Riziki akizungumza wakati wa Kongamano la Siku mbili la Kufanya Tathmini ya Hali ya Kujieleza, Haki ya Kupata Taarifa na Uhuru wa Wana Habari Jijini Dar es salaam.

No comments:

Powered by Blogger.