LIVE STREAM ADS

Header Ads

CCM Mwanza wazindua kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano +255 757 432 694 ama ripotabmg@gmail.com
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimekata utepe wa kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Miaa, Vitongoji na Vijiji unaotarajia kufanyika nchini Noemba 27, 2024.

Kote nchini, kampeni hizo zilianza Novemba 20, 2024 zikitarajiwa kufikia tamati Novemba 26, 2024 ambapo kwa Mkoa Mwanza uzinduzi ulifanyika uwanja wa Furahisha huku mgeni rasmi akiwa ni Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Emmanuel Nchimbi ambapo aliwahimiza wagombea kufanya kampeni za kistaarabu na kuhakikisha CCM inaibuka na ushindi.
Tazama BMG TV hapa chini
Tazama BMG TV LIVE hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.