Bilioni 100 zasambaza umeme Kigoma
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano +255 757 432 694 ama ripotabmg@gmail.com

Katika mkoa wa Kigoma, jumla ya Vijiji 279 kati ya Vijiji 306 tayari vimeunganishwa na nishati ya umeme na kwa sasa serikali inapeleka umeme kwenye vitongoji ambapo Zaidi ya vitongoji 595 wakandarasi wanaendelea na utekelezaji wa mradi.
Aidha Katika Vitongoji 1849 vya Mkoa wa Kigoma, Vitongoji zaidi ya 1370 tayari vimeshapata umeme.
#KaziInaongea
No comments: