LIVE STREAM ADS

Header Ads

Rais Samia ahudhuria hafla ya Mlipa Kodi Bora 2023/24

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano +255 757 432 694 ama ripotabmg@gmail.com
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amehudhuria hafla ya Tuzo za Mlipakodi Bora wa mwaka 2023/24

Hafla hiyo imeandaliwa na Mamlaka ya Mapato (TRA) imehudhuriwa na viongozi wa Serikali, wafanyabiashara na wadau mbalimbali, na kufanyika ukumbi wa The Super Dome, Masaki jijini Dar es Salaam Januari 23, 2025.
KAZI INAONGEA

No comments:

Powered by Blogger.