Maonesho ya Nanenane 2025 yahitimishwa kwa kishindo
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano +255 757 432 694 ama ripotabmg@gmail.com
Maonesho ya wakulima, wafugaji na wavuvi maarufu kama Nanenane yamekuwa na mwitikio mkubwa katika Kanda ya Ziwa Magharibi inayojumuisha mikoa ya Mwanza, Geita na Kagera.
Maonesho hayo hufanyika uwanja wa Nyamhongolo jijini Mwanza ambapo kitaifa mwaka yamefanyika jijini Dodoma na kutoa fursa kwa wananchi, taasisi, mashirika na wadau kutoa elimu, kutangaza na kuuza bidhaa mbalimbali.
Tazama picha wakati wa kilele cha maadhimisho ya Nanenane Ijumaa Agosti 08, 2025 katika uwanja wa Nyamhongolo jijini Mwanza.
Tazama BMG TV hapa chini
No comments: