MAONESHO YA BIASHARA AFRIKA MASHARIKI KUANZA AGOSTI 29, 2025 MWANZA
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano +255 757 432 694 ama ripotabmg@gmail.com
Maonesho ya Biashara ya Afrika Mashariki kuanza Ijumaa Agosti 29,2025 hadi Jumapili Septemba 07, 2025 katika uwanja wa Nyamagana jijini Mwanza.
Maonesho hayo huandaliwa na Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA) ambapo kwa mwaka huu ni ya 20 tangu kuanzishwa.
Mwenyekiti wa TCCIA Mkoa wa Mwanza, Gabriel Kenene amesema maonesho hayo yanatarajiwa kufunguliwa rasmi na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda.
Mwenyekiti wa TCCIA Mkoa wa Mwanza, Gabriel Kenene akitoa taarifa kuelekea Maonesho ya Biashara ya Afrika Mashariki kwa mwaka huu 2025.
Mwenyekiti wa TCCIA Mkoa wa Mwanza, Gabriel Kenene akitoa taarifa kuelekea Maonesho ya Biashara ya Afrika Mashariki kwa mwaka huu 2025.
Mwenyekiti wa TCCIA Mkoa wa Mwanza, Gabriel Kenene akitoa taarifa kwa wanahabari Ijumaa Agosti 22, 2025 kuelekea Maonesho ya Biashara ya Afrika Mashariki kwa mwaka huu 2025 yanayotarajiwa kuanza Ijumaa Agosti 29, 2025 uwanja wa Nyamagana.
Tazama BMG TV hapa chini
PIA>>> Bonyesha hapa kusoma zaidi
No comments: