LIVE STREAM ADS

Header Ads

MNEC MABULA AKABIDHI SARE ZA KAMPENI KWA MADIWANI

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano +255 757 432 694 ama ripotabmg@gmail.com
MNEC Taifa, Dkt. Angeline Mabula amekabidhi sare za Chama cha Mapinduzi (CCM), kwa wagombea udiwani wa Kata zote za Jimbo la Ilemela mkoani Mwanza ikiwa ni mchango wake kuelekea uzinduzi wa kampeni za Uchaguzi Mkuu 2025 jimboni humo utakaofanyika Jumapili Septemba 13, 2025.

Sare hizo zimepokelewa na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ilemela, Yusuph Bujiku katika hafla fupi iliyohuzuriwa na mgombea ubunge Jimbo la Ilemela, Kafiti Kafiti, wagombea udiwani jimboni humo na viongozi mbalimbali wa CCM. 

MNEC Taifa, Dkt. Angeline Mabula (kulia), akisalimiana na mgombea ubunge Jimbo la Ilemela, Kafiti Kafiti (kushoto) baada ya kukabidhi sare za kampeni. Katikati ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ilemela, Yusuph Bujiku.
Tazama BMG TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.