Hizi ni Picha 25 za Show iliyopigwa Ijumaa ya June 27 ndani ya Villa Park Resort ikiwa ni Vunja Jungu Kwa wakazi na wananchi wa Mkoa wa Mwanza na Mikoa jirani ambapo Christian Bella na Band yake ya Malaika, Sanjari na Kidumu na Band yake ya BodaBoda waliweza kukata kiu ya Burudani kwa wapenzi wa Mziki siku hiyo. Kiukweli ilikuwa Show nzuri kutoka kwa Band zote. Show hiyo ilisindikizwa pia na Wazee wa Nyumbani Super Kamanyola ambao nao pia Walitisha mbayaaaaaaa!!!!Tazama picha vizuri kuanzia ya kwanza hadi ya mwisho kuna kitu utakigundua!!!!!!! |
No comments: