LIVE STREAM ADS

Header Ads

HABARI PICHA: ILIVYOKUWA KATIKA BIRTH DAY YA DADA DRED ILIYOFANYIKA JIJINI DAR.

Anaitwa Annah aka Dada Dred (mwenye smile alievaa kofia) akisherekea kutimiza miaka kadhaa tangu kuzaliwa kwake. Hapo yuko na ndugu jamaa na marafiki waliofika kum-wish happpy birth day. Dada Dred alisherekea miaka yake kadhaa ya kuzaliwa JUNE 26 Mwaka huu Jijini Dar es salaam. Tazama picha za birth day yake huku Ukiimba Kimya Kimya wimbo wowote wa ku-wish happy birth day Dada Dred.Kumbuka Dada Dred ni Mdau Mkubwa wa 99.4 Radio Metro FM ya Jijini Mwanza na ni Msomaji Mzuri wa Mtanzania Media.
Baada ya Dada Dred kuwalisha ndugu, Jamaa na Marafiki Keki, Ikwadia zamu yake na yeye kulishwa Keki...Hakika ilikuwa ni Furaha kubwa!
Mtanzania Media inakutakia Maisha Mema Dada Annah aka Dada Dred.

No comments:

Powered by Blogger.