Padre Fabian Mhoja ambae ni Mkurugenzi wa Kituo cha Utamaduni Bujora.Ngoma mbalimbali zitakuwepo katika mashindano hayo hivyo wananchi wanahamasishwa kujitokeza kwa wingi ili kushuhudia mashindano hayo.Kumbuka hakuna kiingilio ni Bureeee kabisa.Ni katika Viwanja wa Bujota Mkoani Mwanza, kama kawaida Bia ya Baridi Extra ndio wadhamini wakuu wa Mashindano haya. |
No comments: