SHANGWE ZA NDOVU SPECIAL MALT JIJINI MWANZA NI BALAA TUPU. HAKIKA NI MAUTAMU KUNOGA.
| Alex Ngusa (kulia) akigonga chiazi na Albert G.Sengo kutoka Clouds FM na G.Sengo Blog wakati wa shangwe za kusherekea ushindi wa Ndovu Special Malt Jijini Mwanza. |
| "Ni shangwe za Ushindi wa Ndovu Special Malt Jijini Mwanza. Ushindi unafahamika kama MONDE SELECTION INTERNATIONAL HIGH QUALITY TROPHY 2014. |
| Filbert Kabago Mtangazaji wa Passion FM, (wa kwanza Kushoto) akiwa na Alex Ngusa (Katikati) na Smith Swai (kulia) kutoka Radio Metro. |
| Bia ya Ndovu Special Malt imekuwa bia bora na kushinda tuzo ya Bia yenye Ubora Zaidi mwaka 2014. |
| Smith Swai kutoka Radio Metro nae mara Kabang'aaaaaaaaaa na kombe |
| Madam Levi kutoka KK Security. |
| George Binagi-GB Pazzo kutoka Metro FM na Mtanzania Media nae ilibidi ashow love na Kombe. |
| "Umependezaaaaaa mamii.......Athanteeeee".Huyu ni KT akishow love na Kombe pembeni akiwa na miss ambae yeye kazi yake kubwa ilikuwa ni kutoa kampani kwa aliekuwa akihitaji kupiga picha. |
| Heheeeeeeeeeee! Wapi ndovuu Special Malttttttttttt. |
| Alex Ngusa (kushoto) ambae ni Meneja wa Radio Metro ya Jijini Mwanza akiwa na Michael Machellah ambae ni Afisa Habari bia ya Ndovu Special Malt. |
| Directo Shaibu kiukweli alipiga show kali ambayo kila mmoja aliekuwa ukumbini aliipongeza.Pongezi kwako Mkali wa Changa.......Changa......Changamkaaaaaaaa. |
| Dancers kutoka kwa Director Shaibu mkali wa ngoma ya Changamka ambayo kwa hivi sasa ni noma hapa nchini. |
| Weka vitu.....weka vitu weeeee,,,,,,changa changa changamkaaaaaaaaaaaa |
No comments: