SHANGWE ZA NDOVU SPECIAL MALT JIJINI MWANZA NI BALAA TUPU. HAKIKA NI MAUTAMU KUNOGA.
Alex Ngusa (kulia) akigonga chiazi na Albert G.Sengo kutoka Clouds FM na G.Sengo Blog wakati wa shangwe za kusherekea ushindi wa Ndovu Special Malt Jijini Mwanza. |
"Ni shangwe za Ushindi wa Ndovu Special Malt Jijini Mwanza. Ushindi unafahamika kama MONDE SELECTION INTERNATIONAL HIGH QUALITY TROPHY 2014. |
Filbert Kabago Mtangazaji wa Passion FM, (wa kwanza Kushoto) akiwa na Alex Ngusa (Katikati) na Smith Swai (kulia) kutoka Radio Metro. |
Bia ya Ndovu Special Malt imekuwa bia bora na kushinda tuzo ya Bia yenye Ubora Zaidi mwaka 2014. |
Smith Swai kutoka Radio Metro nae mara Kabang'aaaaaaaaaa na kombe |
Madam Levi kutoka KK Security. |
George Binagi-GB Pazzo kutoka Metro FM na Mtanzania Media nae ilibidi ashow love na Kombe. |
"Umependezaaaaaa mamii.......Athanteeeee".Huyu ni KT akishow love na Kombe pembeni akiwa na miss ambae yeye kazi yake kubwa ilikuwa ni kutoa kampani kwa aliekuwa akihitaji kupiga picha. |
Heheeeeeeeeeee! Wapi ndovuu Special Malttttttttttt. |
Alex Ngusa (kushoto) ambae ni Meneja wa Radio Metro ya Jijini Mwanza akiwa na Michael Machellah ambae ni Afisa Habari bia ya Ndovu Special Malt. |
Directo Shaibu kiukweli alipiga show kali ambayo kila mmoja aliekuwa ukumbini aliipongeza.Pongezi kwako Mkali wa Changa.......Changa......Changamkaaaaaaaa. |
Dancers kutoka kwa Director Shaibu mkali wa ngoma ya Changamka ambayo kwa hivi sasa ni noma hapa nchini. |
Weka vitu.....weka vitu weeeee,,,,,,changa changa changamkaaaaaaaaaaaa |
No comments: