Event ya Kwanza ya Mapenzi Nyumbani Kampeni ambayo ni kampeni inayohamasisha watu kuwa na uzalendo wa kupenda kazi za ndani kwa ya kazi za nyumbani kabla ya zile za nje imeanza hii leo Mkoani Mwanza ambapo imeshiggwa show ambayo wenzetu huwa wanaita Ibhyaa hatariiii yani shoo ya hatari.Lakini pia much respect kwa Media za Mwanza, Blogers, Wasanii, Maproducers, Madjs, Mapresenters na Mashabiki wote kwa ujumla kwa kwa Ushirikiano wenu juu ya MAPENZI NYUMBANI KAMPENI. |
No comments: