Takwimu zinaonyesha kuwa kati ya vijana 1,500 hadi elfu mbili Jijini
Mwanza wanakabiliwa na tatizo la utumiaji wa dawa za kulevya huku wengine zaidi
ya Elfu Kumi na Tano (15,000) wakiwa katika hatari ya kujiingiza katika
utumiaji wa dawa za kulevya.
Katika kupambana na utumiaji wa dawa za kulevya, jamii kwa
kushirikiana na wadau mbalimbali wanashauriwa kuungana kwa pamoja ili
kuhakikisha matumizi ya dawa za kulevya yanatokomezwa huku wanajamii zaidi
wakiasa kuwasaidia waathirika wa dawa hizo badala ya kuwatenga.
|
No comments: