LIVE STREAM ADS

Header Ads

WAHITIMU WA CHUO CHA MALIASILI NA UTALII MKOANI MWANZA WAILILIA SERIKALI.

Waziri wa Maliasili na Utalii Mh.Lazaro Nyarandu akifungua jengo la Komputa Chuoni hapo.

Wakurufunzi (Wahitimu) Wa Chuo Cha Maliasili Na Utalii Pasiansi Mkoani Mwanza Wameomba Serikali Kuakikisha Swala La Ajira linapewa kipa Umbele Ili Kuondokana Na Changamoto Za Kukaa Majumbani Pindi Wanapo Maliza Masomo Ya Kulinda Mbuga Za Wanyama Nchini.


Akisoma Risala Kwa Niaba Ya Wanafunzi Walio Itimu Kozi Mbali Mbali Za Ulinzi Zidi Ya Wanyama Pori siku ya jana kwenye mahafari yao, Revocatus John Kanyasu Alisema Kuwa  Ukosefu Wa Ajila Imekuwa Ni Kikwazo Kwa Wanafunzi Wa Wanyama Pori Pindi Wanapo Maliza Masomo Yao Kwani Ajila Zimekuwa Hazitolewi Kwa Wakati Unao Takiwa.

“Suala La Ajira Kwa Wahitimu Lipewe Kipaumbele Pale Wanapo Kuwa  Wamehitimu  Mafunzo Yao”Alisema Kanyasu.
Akijibu Swala La Ajira Kwa Asikali Wa Wanyamapori,Waziri Wa Mali Asiri Na Utalii Lazalo Nyarandu Alisema Kuwa Ajira Zote Zitakazo Kuwa Zikihusiana Na Wanyama Pori Zitakuwa Zikitolewa Chini Ya Mamlaka Ya Hifadhi Ya Wanyamapori.


“Kama Ambavyo Wenzetu Katika Jeshi La Polisi Wanaajiri Polisi Kutoka Chuo Cha Polisi Sisi Pia Tutakuwa Tukitoa Ajira Wenyewe na sio Tume ya ajira tena, hivyo Tunaimani Tatizo La Ajira Alitakuwepo Tena Kwa Wanafuzni Wano Hitimu Mafunzo Ya Kulinda Wanyama Pori Nchini”.Alisema.


Aidha Ameongeza Kuwa  Wao Kama Wizara Ya Maliasili Na Utalii,Wamejipanga Kuhakikisha Kuwa Wanaongeza Vifaa Vya Kutosha Ili Kudhibiti Swala La Ujangili Nchini ikiwa Ni Pamoja Na Kuongeza  Ndege Za Chope (Helkopta) Zenye Uwezo Wa Kuruka Na Kuongeza Ulinzi Katika Mbuga Za Wanyama Pori Nchini Na Zile Ambazo Zinauwezo Wa Kuruka Bila Ya Kuwa Na Mwongozaji.

Awali Akisoma Hotuba Ya Chuo Hicho, Mkuu Taasisi Hiyo, Lowaeli Damalu Alisema Kuwa Chuo hicho Kilianza Na  Wanafunzi 400 Na Walio Maliza Masomo Yao Ni 373 ikiwa 27,Walifukuzwa Kutokana Na Kuwa Na Makosa Mbalimbali Hikiwa Ni Pamoja Na Uvutaji Bagi,Ukosefu Wa Nidhamu Na Ukiukwaji Wa Sheria Ya Chuo Na Kutofanya Mitihani Ya Chuo.
Na Joel Juma.

No comments:

Powered by Blogger.