Tungaraza Njugu.
Katika hatua
nyingine amewataka Viongozi wa Chama hicho katika ngazi ya Kata, Wilaya na
Majimbo, kuwahamasisha wanachama wao kujitokeza kwa wingi ili kuwania nafasi za
uongozi ndani ya chama chao.
Mbali na
hayo Michael amebainisha kuwa kwa hivi sasa Chadema Kanda ya Ziwa Magharibi
imetanuka Kiuongozi, kwa kuwa Chama Kimeunda kamati Sita ambazo ni kamati ya
Sheria, Kamati ya Chadema ni Msingi na Kamati ya Fedha na Rasilimali.
Kamati
nyingine ni pamoja na Kamati ya Sera na Utafiti, Kamati ya Hamasa na Uenezi na
Kamati ya Mwisho ni Kamati ya Mafunzo ambapo Kamati zote sita zimelenga
Kukijenga na Kukiimarisha chama hicho.
|
No comments: