Mashindano
ya Kombe la Meya 2014 ambayo hapo awali yalikuwa yanafahamika kama Pepsi Meya’s
Cup yanatajarajia kuanza hivi karibuni kwa kushirikisha jumla ya Timu 22 mwaka
huu, kutoka Timu 19 zilizoshiriki mashindano hayo mwaka jana ikiwa ni ongezeko
la Timu tatu zaidi.
Akizungumza na Waandishi wa Habari hii leo, Mstahiki Meya wa Jiji la
Mwanza Stanslauns Mabula ambae ni Mwanzilishi wa Mashindano hayo, ameeleza kuwa
maandalizi yamekwisha kamilika na hivyo mashindano hayo yanatarajia kuanza mara
baada ya Michuano ya Kombe la Dunia la FIFA kufikia tamati yake.
|
No comments: