Hili lilikuwa ni Moja ya Mabanda ya Airtel katika Maonyesho ya Nane Nane ambayo yalifanyika Nyamhongolo Mkoani Mwanza ambapo
hiyo ilikuwa ni Kikanda kwa Maana ya Mikoa yote ya Kanda ya Ziwa ambayo ni Mwanza, Mara, Kagera, Shinyanga, Simiyu na Geita. Katika Kilele cha Maadhimisho hayo Kanda ya Ziwa
kilichofanyika jana Octoba 08, 2014 Mgeni Rasmi alikuwa ni Waziri Mkuu
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Mizengo Peter Pinda. Pia Pinda alitunukiwa Tuzo ya Mkulima bora katika maonyesho hayo ya wakulima, wafugaji, wavuvi na wajasiriamali maarufu kama maonyesho ya Nane Nane. |
No comments: