JAMANI TAZAMENI AIRTEL RISING STAR IKIZINDULIWA MKOANI MWANZA. NI KWELI TANZANIA BILA SOKA INAWEZEKANA?
Katibu Mkuu wa Chama cha Soka Mkoa wa Mwanza (MZFA) Nasib Maburuki akizungumza katika Ufunguzi wa Michuano ya Airtel Rising Star iliyofunguliwa Rasmi jana katika Uwanja wa CCM Kirumba Mkoani Mwanza. |
Raphael Daudi ambae ni Meneja Masoko wa Airtel Kanda ya Ziwa akizungumza katika Ufunguzi wa Michuano ya Airtel Rising Star iliyofunguliwa Rasmi jana katika Uwanja wa CCM Kirumba Mkoani Mwanza. |
Kikosi cha TSC Academiy kinachoshiriki Mashindano ya Airtel Rising Star Mkoani Mwanza. |
Mstahiki Meya wa Jiji la Mwanza Stanslauns Mabula (Mwenye nguo nyeusi) akikagua kikosi cha Timu ya TSC Academy Kinachoshiriki Michuano ya Airtel Rising Star Mkoani Mwanza. |
Kikosi cha Alliance Academy Kinachoshiriki Mashindano ya Airtel Rising Star Mkoani Mwanza. |
Kikosi cha Alliance Academy Kinachoshiriki Mashindano ya Airtel Rising Star Mkoani Mwanza. |
Mstahiki Meya wa Jiji la Mwanza Stanslauns Mabula (Mwenye nguo nyeusi) akikagua kikosi cha Timu ya Alliance Sports Academy Kinachoshiriki Michuano ya Airtel Rising Star Mkoani Mwanza. |
Kikosi cha Alliance Academy Kinachoshiriki Mashindano ya Airtel Rising Star Mkoani Mwanza. |
Kikosi cha Alliance Academy Kinachoshiriki Mashindano ya Airtel Rising Star Mkoani Mwanza. |
Kikosi cha TSC Academiy kinachoshiriki Mashindano ya Airtel Rising Star Mkoani Mwanza. |
Waamuzi wa Mashindano ya Airtel Rising Star katika Mechi ya Ufunguzi baina ya Alliance Sports Academy na TSC Academy. |
Makeputeni na Waamuzi wa Mashindano ya Airtel Rising Star katika Mechi ya Ufunguzi baina ya Alliance Sports Academy na TSC Academy. |
No comments: