NI MWENDO WA NGOMA MBILI MBILI. MR. B NAE AACHIA NYOMA MBILI KWA WAKATI MMOJA.
Mr. B |
anaamini kuwa kuachia ngoma mbili kwa wakati mmoja itakuwa ni fursa nzuri kwa Mashabiki wa Mziki wa Bongo kuweza kutambua haratakazti zake.
Mr. B amesema kwamba kikubwa kilichosababisha hadi akaachia ngoma hizo kwa wakati mmoja ni kuweza kuwapa burudani wapenzi wa Mziki hapa nchini kwa kuwa kila wimbo una mashairi na Mahadhi tofauti hivyo hiyo itakuwa ni fursa kwake kuwakamata mashabiki zake wote.
Ngoma ya Kwanza inafahamika kama Kaa Chonjo ambayo amefanya na Monkara 111 katika Studio za Kweya Records chini ya Producer Bravo ambapo humo ndani amezungumzia zaidi Harakati za kutafuta Life, huku ngoma ya Pili akiwa amesimama peke yake na inafahamika kama Baby ambapo katika ngoma hiyo zaidi amezungumzia Mapenzi.
ISIKILIZE YA NGOMA YA KAA "CHONJO" HAPA.
Mr. B>>>Mawasiliano 0769 48 7137. |
ISIKILIZE NGOMA YA "BBABY" HAPA.
Na: George Binagi @99.4 Metro FM & Mtanzania Media.
No comments: