Wanafunzi wa Dar es Salaam Institute Of Journalism and Mass Communication Tawi la Mwanza.
Mbali na hao
pia Wanahabari wengine wamepewa fursa ya kupata mafunzo hayo kwa lengo la
kuwajengea uwezo zaidi katika shughuli zao za uandishi wa habari na utangazaji,
ambapo mafunzo hayo yatatolewa katika kipindi cha Miezi Mitatu kuanzia Septemba
15 hadi Desemba 15 Mwaka huu.
Jasson
Wambele ambae ni Meneja wa Chuo hicho cha Dar es Salaam Institute of Journalism
and Mass Communication Tawi la Mwanza, ameeleza kuwa waandishi watakaopata
mafunzo hayo wataweza kupatiwa vyeti na ametoa rai kwa waandishi wa vyombo
mbalimbali vya habari Mkoani Mwanza kujiandikisha katika ofisi za Chama cha
Waandishi wa Habari Mkoani Mwanza kwa ajili ya kupata mafunzo hayo.
|
No comments: