Isaack Wakuganda ambae ni Gender Officer OJADACT.
Kutokana na
Takwimu hizo, Soko alioongeza kuwa OJADACT imeona ni vyema ikaandaa mafunzo kwa
Waandishi wa Habari, ili kuwajengea Uwezo wa kuweza kuandika habari
zinazohusiana na dawa na kulevya pamoja na uharifu ili kufikisha elimu zaidi
katika jamii.
Katika hatua
nyingine Soko alibainisha kuwa kuna madhara makubwa yanayotokana na biashara na
matumizi ya dawa za kulevya ambapo ameyataja madhara hayo kuwa yamegawanyika
katika Nyanja mbalimbali ambazo ni pamoja na Kiuchumi, Kiafya, Kisiasa,
Kijamii, Kiusalama na Kimazingira pia ambapo madhara yote hayo yana athari
kubwa katika Mstakabali wa Taifa.
|
No comments: