AIRTEL NA TRESSA KATIKA MAONYESHO YA BIASHARA AFRIKA MASHARIKI JIJINI MWANZA.
Mteja wa Airtel akishow Love na Mhudumu wa Airtel katika Maonyesho ya Biashara ya Afrika Mashariki yaliyofanyika Jijini Mwanza kuanzia tarehe 29.08.2014 hadi tarehe 07.09.2014. |
Huduma zikiendelea katika banda la Airtel wakati wa Maonyesho ya Biashara ya Afrika Mashariki yaliyofanyika Jijini Mwanza kuanzia Agost 29 hadi Septemba 07 mwaka huu. |
Ahsante kwa kutembelea Mtanzania Media, Karibu tena. Kwa Pamoja, Tuijuze Jamii. |
No comments: