MCHUNGAJI KILINGA ASIMIKWA KUWA ASKOFU MKUU WA KWANZA WA GOSHEN INLAND CURCH TANZANIA.
Askofu Seleman Kilinga (Wa Kwanza Kushoto) akisimikwa kuwa Askofu wa Kwanza wa Kanisa la Goshen Inland Church. |
Askofu Mkuu wa Kwanza nchini Tanzania wa Kanisa la Goshen Inland Church lenye Makao Makuu yake Mabatini Jijini Mwanza. |
Askofu Kilinga akiwa na Mama Askofu (Mkewe) baada ya Kusimikwa siku ya jana. |
Viongozi wa Makanisa, Maaskofu na Wake za Maaskofu wakiwa katika Picha ya Pamoja. |
Wachungaji wakiwa katika Picha ya Pamoja na Maaskofu. |
Wazazi wakiwa katika Picha ya Pamoja na Maaskofu. |
Kwaya ya Goshen Inland Church Mabatini ikiwa katika picha ya Pamoja na Maaskofu. |
Kwaya ya Watoto kutoka Goshen Inland Church Mabatini wakiwa katika picha ya pamoja na Maskofu akiwemo Askofu Mkuu wa Kwanza wa Kanisa lA Goshen Inland Church Seleman Kilinga (Wa kwanza Waliokaa.) |
Viongozi wa mbalimbali wa Kanisa. |
Waumini mbalimbali wakishuhudia Usimikaji wa Askofu Mkuu wa Kwanza wa nchini Tanzania wa Kanisa la Goshen Inland Church katika Uwanja wa Shule ya Msingi Mabatini siku ya jana. |
Ahsante kwa Kutembela MTANZANIAMEDIA BLOG, Kwa Pamoja, Tuijuze Jamii. |
No comments: