MKOLANI MABINGWA WAPYA PEPSI KOMBE LA MEYA 2014.
Kikosi cha Timu ya Mkolani FC. |
Diwani wa Kata ya Mirongo akifurahi na Kombe ambalo timu yake ya Mirongo imejishindia baada ya kuibuka Washindi wa Pili katika Michuano ya Pepsi Kombe la Meya 2014. |
Nicolas Coertz ambae ni Meneja wa Kampuni ya Vinywaji ya Pepsi SBC Tanzania Mkoani Mwanza. |
Muasisi wa Michuano ya Pepsi Kombe la Meya ambae ni Mstahiki Meya wa Jiji la Mwanza na Diwani wa Kata ya Mkolani (CCM) Stanslauns Shing'ongo Mabula. |
Makombe yakiwa katika hali tulizo kabla ya Kukabidhiwa kwa Washindi. |
Maua a.k.a Warembo waliokuwa wakihakikisha kwamba Kombe linakuwa katika hali nzuri na ya kuvutia kama wao wenyewe walivyo. |
Baadhi ya Mashabiki waliojitokeza katika Kushuhudia Fainali za Pepsi Kombe la Meya zilizochezwa jana katika Uwanja Mkongwe wa Nyamagana Jijini Mwanza. |
No comments: