TAZAMA KILICHOJILI KATIKA MAHAFALI YA KIDATO CHA NNE IPWAGA SEKONDARI.
Lugayila aliyasema hayo
hii leo alipokuwa Mgeni Rasmi katika Mahafali ya Kidato cha Nne ya Wanafunzi wa Shule ya Ipwaga Sekondari iliyoko Usagara Wilayani Misungwi, yaliyofanyika katika viunga vya Shule hiyo.
Alisema vijana wanapaswa kuwa makini kwa kujiepusha na makundi hatarishi katika jamii ambayo yanaweza kuwaingiza katika suala la utumiaji au usafirishaji wa dawa za kulevya, jambo ambalo amesema ni hatari kwa kuwa linaweza kupoteza nguvu kazi ya Taifa.
Aidha Lugayila aliwaonya vijana kujiepusha na suala la dawa za kulevya kwa kuwa wanaweza kupoteza maisha yao kama ambavyo baadhi ya nchi zimekuwa zikifanya kwa kutoa adhabu ya kifo kwa wale wanaokutwa wakijihusisha na utumiaji au usafirishaji wa dawa hizo.
Mbali na hayo Lugayila pia aliwataka mabinti kuzingatia zaidi masomo na kujiepusha na mimba za utotoni huku pia akiwakumbusha vijana wa kiume kujiepusha na mashuga mami jambo amablo litawawezesha kutimiza ndoto walizojiwekea katika maisha yao.
Picha ya Pamoja. |
Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mariam Lugayila (Aliesimama) akizungumza katika Mahafali ya Kidato cha nne Shule ya Sekondari Ipwaga iliyoko Usagara Misungwi Mkoani Mwanza. |
Wageni Waliikwa wakiwa pamoja na Mgeni Rasmi pamoja na Wakuu wa Sule ya Ipwaga Sekondari. |
Wakuu wa Ipwaga Sekondari wakifurahia burudani mbalimbali zilizokuwa zikitolewa katika Mahafali ya Kidato cha nne hii leo shuleni hapo. |
Meza kuu ikiongozwa na Mgeni Rasmi Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mariam Lugayila (Wa pili kulia). |
Baadhi ya Wazazi waliohudhuria katika Mahafali ya Kidato cha Nne ya Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Ipwaga iliyoko Usagara Wilayani Misungwi. |
Baadhi ya Wazazi waliohudhuria katika Mahafali ya Kidato cha Nne ya Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Ipwaga iliyoko Usagara Wilayani Misungwi. |
Baadhi ya Wanafunzi wa Kidato cha Nne Shule ya Sekondari Ipwaga Iliyoko Misungwi Mkoani Mwanza. |
Add captionBaadhi ya Wanafunzi wa Kidato cha Nne Shule ya Sekondari Ipwaga Iliyoko Misungwi Mkoani Mwanza. |
Wahitimu wa Kidato cha Nne Ipwaga Sekondari. |
Wahitimu wa Kidato cha Nne Ipwaga Sekondari. |
Mmoja wa Wahitimu akipokea cheti (Si cheti halisi). |
Mwalimu wa Ipwaga Sekondari akipata Motisha baada ya wanafunzi kufaulu vyema katika somo lake kulingana na Mitihani mbalimbali waliyoifanya. |
Mwalimu wa Ipwaga Sekondari akipata Motisha baada ya wanafunzi kufaulu vyema katika somo lake kulingana na Mitihani mbalimbali waliyoifanya. |
Mwalimu wa Ipwaga Sekondari akipata Motisha baada ya wanafunzi kufaulu vyema katika somo lake kulingana na Mitihani mbalimbali waliyoifanya. |
Mwalimu wa Ipwaga Sekondari akipata Motisha baada ya wanafunzi kufaulu vyema katika somo lake kulingana na Mitihani mbalimbali waliyoifanya. |
Mwalimu wa Ipwaga Sekondari akipata Motisha baada ya wanafunzi kufaulu vyema katika somo lake kulingana na Mitihani mbalimbali waliyoifanya. |
Vaileth Elias akikabidhi Risala ya Wahitimu baada ya kumaliza kuisoma kwa Mgeni Rasmi. |
Madam akiwakabidhi Keki wahitimu kama ishara ya upendo wake kwao haswa kutokana na nidhamu waliyonayo walihitmu hao. |
Hapa vijana wa Kizazi kipya walikuwa wakitoa burudani ya miondoko ya Hip Hop. |
Hapa burudani ikiendelea ambapo wanafunzi wa kidato cha kwanza walitoa burudani ya ngoma za asili ili kutukumbuka kuwa bado Utamaduni wa Mtanzania na wa Kiafrika unapaswa kuenziwa. |
Wanafunzi wa Ipwaga Sekondari wakitoa burudani katika Mahafali ya Kidato cha nne hii leo shuleni hapo. |
Hivyo ndivyo ilivyokuwa katika Mahafali ya Kidato cha Nne Ipwaga Sekondari iliyopo Mita chache Kutoka Usagara Conner Maarufu kama Round about ya Usagara. |
No comments: