LIVE STREAM ADS

Header Ads

USIKU WA BURUDANI NA K-VANT JIJINI MWANZA NI NOMA.

Ilikuwa ni Burudani juu ya Burudani kwa Wakazi wa Jiji la Mwanza na Vitongoji vyake. Ilikuwa ni katika Jukwaa moja la K-Vant huku kukiwa na wasanii kibao chini ya Kampuni ya MEGATRADE INVESTMENT LTD kutoka Jijini Arusha.Tazama balaa lake katika picha.
Ilikuwa ni katika Maonyesho ya Biashara ya Afrika Mashariki yaliyofanyika katika Uwanja wa Nyamagana Jijini Mwanza kuanzia tarehe 29.08.2014 hadi tarehe 07.09.2014 ambapo kubwa zaidi Kampuni ya MEGATRADE INVESTMENT LTD ambao ni watengenezaji wa Vinywaji vya aina mbalimbali ikiwemo Kiroba Orginal, Vanroh  na K-Vant waliandaa Jukwaa kwa ajili ya wapenda burudani waliokuwa wakifika katika Maonyesho hayo kupata kilaji.
The Mc alikuwa noma sana!
Mdau wa Kinywaji cha K-Vant (Kulia) akipata zawadi ya Kofia kutoka kwa Masai wa K-vant. (MEGATRADE INVESTMENT LTD).
Wadau wakifuatilia Show katika Jukwaa la K-Vant.
Ahsante kwa Kutembelea Mtanzania Media Blog. Endelea kuburudika na Vinywaji vya aina mbalimbali kutoka kwao MEGATRADE INVESTMENT LTD kwa kuwa vinywaji hivyo havina mning'inio wa ziada ukivitumia. Mfano Ijaribu leo K-Vant, Konyaji na Kiroba Orginal utakubaliana nami.

No comments:

Powered by Blogger.