WANAFUNZI LUMALA SEKONDARI WAFANYA ZIARA YA KIMASOMO NYANZA BOTTLING COMPANY.
Kutokana na Umhimu wa Ziara kama hii kwa ajili ya wao kujifunza kwa vitendo, wanafunzi hawa wameomba kuwa na ziara za mara kwa mara ambazo zinawapata fursa ya kujifunza zaidi kwa vitendo. |
Wanafunzi wa Kidato cha Tatu kutoka Lumala Sekondari iliyopo Ilemela Mkoani Mwanza. |
Wanafunzi wa Kidato cha Tatu kutoka Lumala Sekondari iliyopo Ilemela Mkoani Mwanza. |
Wanafunzi wa Kidato cha Tatu Lumala Sekondari walipofanya ziara ya kimasomo katika Kiwanda cha Nyanza Bottling Company kwa ajili ya kujifunza namna kiwanda hicho kinavyozalisha vinywaji (Soda). |
Mtanzaniamedia Blog Inawatakia masomo mema na jiepusheni na Mafataki maana Taifa linawategemea sana hivyo zingatieni Masomo kwa bidii. |
No comments: