DJ STIVE JUNIOR KUTOKA NCHINI KENYA ATUA JIJINI MWANZA KWA AJILI YA SHOW YA USIKU WA RAGGAE.
Dj Stive Junior (Kushoto) akiwa na Moses Manta (Katikati) na George Binagi-GB Pazzo Blooer wa Mtanzaniamedia Blog (Kulia). |
Safari ya Kutoka Uwanja wa Ndege wa Mwanza ikawadia kwa ajili ya kuelekea Hotelini. |
Dj Stive Junior akiingia katika katika gari kwa ajili ya kuelekea hotelini. |
Dj Stive Junior (Mwenye Kofia) akiwa ndani ya gari kuelekea hotelini. |
Kumbukumbu zikiendelea Mitaa ya Villa Park Resort hii leo. |
Ile Dj Stive ameingia Villa, mara akakutana na jamaa akiwa na samaki akimtoa ziwani, zile mafoto si zikaanza sasa. |
Na:George Binagi.
No comments: