REDIO 5 WAWAKUTANISHA WANASALAMU KUTOKA MIKOA ZAIDI YA 21,WAFANYA ZIARA KUWAONA WAGONJWA MT.MERU.
![]() |
Yacob Simba akikabidhi ndoo ya mafuta kwa uongozi wa hospitali ya Mt.Meru jana baadaa ya wanasalamu kutoka mikoa zaidi 21 kufika hospitalini hapo kuwafariji wagonjwa. |
![]() |
Vicky Mwakoyo ambaye ni Creative Meneja wa kampuni ya Tan Communication Media inayomiliki kituo cha Radio 5 Arusha,katikati ni Yacob Simba na Godfrey Thomas wakiwa wanajadili jambo. |
![]() |
Kulia ni Lucy Bongole ambaye ni mwanasalamu wakiwa wanajadiliana na wenzake katika viwanja vya hospitali ya Mt.Meru katikati ni Zuhura Mbise maarufu kwa jina la mama Sosy,kushoto ni Sister Monduly. |
![]() |
Wanasalamu wakiwa wanajadiliana. |
![]() |
Sehemu ya msaada uliotolewa na wanasalamu kwa wagonjwa hospitali ya Mt.Meru jijini Arusha. |
![]() |
Muonekano katika hospitali ya Mt.Meru jijini Arusha. |
![]() |
Wanasalamu wakiwa wamevalia T-sheti za Redio 5. |
![]() |
Baadhi ya wanasalamu wakisubiria kuingia katika wodi mbalimbali kuwajulia hali wagonjwa hospitalini hapo. |
![]() |
"Pole mama Mungu atakuponya"hayo ni maneno ya wanasalamu. |
![]() |
Yacob Simba mtangazaji wa Redio 5 akiwa anamjulia hali mama mgonjwa katika wodi ya wanawake. |
![]() |
Mwanasalamu mkongwe kutoka Arusha Baba Ali Mbondei(aliyevalia tisheti ya Redio 5)akiwa na wanasalamu wenzake wakimjulia hali mgonjwa katika wodi ya wanaume. |
![]() |
Wanasalamu wakiwa wanasoma dua kwa mgonjwa wodi ya wanaume katika hospitali ya Mt.Meru jijini Arusha. |
![]() |
Wanasalamu wakiwa wanaingia wodi ya saba kuwaona wagonjwa. |
![]() |
Godfrey Thomas aka GT katikati akiwa amepozi na mashabiki wake ambao ni wanasalamu kupitia kipindi cha usiku wa moto cha kituo cha Redio 5 jijini Arusha. |
![]() |
Wanasalamu kutoka mikoa mbalimbali wakiwa katika picha ya pamoja katika viwanja vya hospitali ya Mt.Meru mara baada ya kufanya ziara ya kuwatembelea wagonjwa. |
No comments: