Taswira ya eneo alilokuwa akifanyia makamuzi Dj Stive Junior.Hakika Heshima ziwaendee Villa Park Resort, Lenny Hotel ya Geita, Radio Metro Fm Jijini Mwanza, Kampuni ya Vinywaji Pepsi na Waandaaji wa Show hiyo iliyopewa jina la Reggae Bring Back Love ambao ni One Drop Promotions ambao walifanya mishe zote ili Dj Stive Junior atue nchini na kudondosha burudani kwa wakazi wa jiji la Mwanza lakini pia shukrani za pekee ziende kwa Media zote ndani ya Jiji la Mwanza za Support kubwa ziliyoionyesha katika Show hiyo. |
No comments: