HOSPITALI YA BUGANDO YATOA HUDUMA ZA UCHUNGUZI NA USHAURI BURE KUHUSU AFYA YA MOYO.
Watalaamu wa Tiba ya Moyo wakitoa huduma ya Uchunguzi na Ushauri bure kuhusu Afya ya Moyo katika Hospitali ya Rufaa Bugando ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Moyo duniani. |
Watalaamu wa Tiba ya Moyo wakitoa huduma ya Uchunguzi na Ushauri bure kuhusu Afya ya Moyo katika Hospitali ya Rufaa Bugando ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Moyo duniani. |
Baadhi ya Watalaamu wa Afya ya Moyo waliokuwa wakitoa huduma ya Uchunguzi na Ushauri kuhusu Afya ya Moyo katika Hospitali ya Rufaa Bugando jumamosi iliyopita ya Octoba 04.2014.. |
Dr.Adolfine Hokororo (Kushoto) ambae ni Daktari Bingwa wa Watoto katika Hospitali ya Rufaa Bugando akizungumza na Paulina David ambae ni Mwanahabari Kutoka Radio Free (Kulia). |
Ahsante kwa kuitembelea MTANZANIAMEDIA BLOG-Kwa Pamoja, Tuijuze Jamii. |
Thank you for this coverage!
ReplyDeleteOk! Thanx
ReplyDelete