Ziara
hizo zimeanza
hii
leo Novemba 17, 2014 katika Kata za Wilaya ya Sengerema, na kuendelea kesho
Novemba 18,2014 katika Kata za Wilaya ya Magu na kutamatishwa Kesho kutwa
Novemba 19 katika Kata za Wilaya ya Ilemela hii ikiwa ni katika Mkoa wa Mwanza.
Ziara hizo zitaendelea katika Kata za Mkoa wa Geita kuanzia Alhamisi wiki hii
ya Novemba 20,2014. Lengo la ziara hizo ni pamoja na Kuimalisha Chama kisiasa,
Kuzungumzia mchakato wa Katiba Mpya, Kuimalisha Uadilifu ndani ya Chama sanjari
na kuwasihi wananchi kujiandaa kushiriki kwa Utulivu na Amani katika chaguzi
zijazo za Serikali za Mitaa.
No comments: