LIVE STREAM ADS

Header Ads

SERIKALI HAITAWAVUMILIA WATUMISHI WASIO WAADILIFU.

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt.Titus Kamani (Wa nne waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na Washiriki wa Mkutano wa Shirika la Taifa la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) na Wadau wa Sekta ya Uvuvi Kanda ya Ziwa uliofanyika hii leo Jijini Mwanza katika Hotel ya JB Belmont.
Serikali imewataka Maafisa Uvuvi wote hapa nchini kuhakikisha kwamba wanatimiza wajibu wao wa kusimamia kikamilifi sheria za rasilimali za uvuvi ambazo wamepewa dhamana ya kuzilinda.


Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt.Titus Kamani ametoa kauli hiyo hii leo
Jijini Mwanza katika Mkutano wa siku moja wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) na Wadau wa Sekta ya Uvuvi iliofanyika katika Hotel ya JB Belmont.

Kamani amesema kuwa Serikali haitawavumilia watumishi wasio waadilifu ambao  wataonekana kuenenda kijunye katika kusimamia sheria za rasilimali za uvuvi hapa nchini ikiwa ni pamoja na kujihusisha katika masuala ya uvuvi haramu.

Aidha amewaasa wananchi kuzithamni rasilimali za uvuvi ili ziendelee kulinufaisha Taifa kwa manufaa ya kizazi cha sasa na cha baadae kwa kuwa ustaarabu ni pamoja na kutii sheria zilizopo bila shuruti.

Awali akizungumza katika Mkutano huo Crescentius Magori ambae ni Mkurugenzi wa Uendeshaji NSSF, amesema kuwa katika Mkutano huo mpango wa kuwawezesha wavuvi kujiunga na Mfuko wa NSSF umezinduliwa rasmi kwa Kanda ya Ziwa na hivyo kuwasihi wavuvi kujiunga na Mfuko huo kwa ajili ya kunufaika na mafao mbalimbali yanayotolewa na NSSF.
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt.Titus Kamani (Wa nne waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na Washiriki wa Mkutano wa Shirika la Taifa la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) na Wadau wa Sekta ya Uvuvi Kanda ya Ziwa uliofanyika hii leo Jijini Mwanza katika Hotel ya JB Belmont.

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt.Titus Kamani akiwa katika Mkutano wa Shirika la Taifa la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) na Wadau wa Sekta ya Uvuvi Kanda ya Ziwa uliofanyika hii leo Jijini Mwanza katika Hotel ya JB Belmont.
Hamis Fakii ambae ni Meneja wa NSSF Mkoa wa Mwanza akiwa katika Mkutano wa Shirika la Taifa la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) na Wadau wa Sekta ya Uvuvi Kanda ya Ziwa uliofanyika hii leo Jijini Mwanza katika Hotel ya JB Belmont.
Mwanaidi Mlolwa ambae ni Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Uvuvi kutoka Wizara ya Maendele ya Mifugo na Uvuvi akiwa katika Mkutano wa Shirika la Taifa la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) na Wadau wa Sekta ya Uvuvi Kanda ya Ziwa uliofanyika hii leo Jijini Mwanza katika Hotel ya JB Belmont.
Crescentius Magori ambae ni Mkurugenzi wa Uendeshaji NSSF akizungumza katika Mkutano wa Shirika la Taifa la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) na Wadau wa Sekta ya Uvuvi Kanda ya Ziwa uliofanyika hii leo Jijini Mwanza katika Hotel ya JB Belmont.
Crescentius Magori (katikati) ambae ni Mkurugenzi wa Uendeshaji NSSF akizungumza katika Mkutano wa Shirika la Taifa la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) na Wadau wa Sekta ya Uvuvi Kanda ya Ziwa uliofanyika hii leo Jijini Mwanza katika Hotel ya JB Belmont.
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt.Titus Kamani akizungumza katika Mkutano wa Shirika la Taifa la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) na Wadau wa Sekta ya Uvuvi Kanda ya Ziwa uliofanyika hii leo Jijini Mwanza katika Hotel ya JB Belmont.
Kutoka Kulia ni Hamis Fakii ambae ni Meneja wa NSSF Mkoa wa Mwanza, akifuatiwa na Crescentius Magori ambae ni Mkurugenzi wa Uendeshaji NSSF, na wa tatu kutoka kulia akiwa ni Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt.Titus Kamani na wa kwanza kushoto akiwa ni Mwanaidi Mlolwa ambae ni Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Uvuvi kutoka Wizara ya Maendele ya Mifugo na Uvuvi. Hapa wakiwa katika Mkutano wa Shirika la Taifa la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) na Wadau wa Sekta ya Uvuvi Kanda ya Ziwa uliofanyika hii leo Jijini Mwanza katika Hotel ya JB Belmont.
Miongoni mwa Wavuvi waliojiunga na Shirika la Taifa la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kupitia mfumo wa Wavuvi Scheme ambao ni mahususi kwa ajili ya Wavuvi akipatiwa Kitambulisho chake cha Uanachama.Mfumo huo umezinduliwa rasmi Kanda ya Ziwa na Dkt.Kamani hii leo.
Miongoni mwa Wavuvi waliojiunga na Shirika la Taifa la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kupitia mfumo wa Wavuvi Scheme ambao ni mahususi kwa ajili ya Wavuvi akipatiwa Kitambulisho chake cha Uanachama.Mfumo huo umezinduliwa rasmi Kanda ya Ziwa na Dkt.Kamani hii leo.
Washiriki wa Mkutano wa Shirika la Taifa la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) na Wadau wa Sekta ya Uvuvi Kanda ya Ziwa uliofanyika hii leo Jijini Mwanza katika Hotel ya JB Belmont.
Washiriki wa Mkutano wa Shirika la Taifa la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) na Wadau wa Sekta ya Uvuvi Kanda ya Ziwa uliofanyika hii leo Jijini Mwanza katika Hotel ya JB Belmont.
Washiriki wa Mkutano wa Shirika la Taifa la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) na Wadau wa Sekta ya Uvuvi Kanda ya Ziwa uliofanyika hii leo Jijini Mwanza katika Hotel ya JB Belmont.
Washiriki wa Mkutano wa Shirika la Taifa la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) na Wadau wa Sekta ya Uvuvi Kanda ya Ziwa uliofanyika hii leo Jijini Mwanza katika Hotel ya JB Belmont.
Washiriki wa Mkutano wa Shirika la Taifa la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) na Wadau wa Sekta ya Uvuvi Kanda ya Ziwa uliofanyika hii leo Jijini Mwanza katika Hotel ya JB Belmont.
Washiriki wa Mkutano wa Shirika la Taifa la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) na Wadau wa Sekta ya Uvuvi Kanda ya Ziwa uliofanyika hii leo Jijini Mwanza katika Hotel ya JB Belmont.
Miongoni mwa Wavuvi (Kushoto) akijisajili ili kujiunga rasmi na Shirika la Taifa la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kupitia mpango wa Wavuvi Scheme ambao ni mahususi kwa ajili ya Wavuvi akijiandikisha ili kuwa Mwanacha rasmi wa Mfuko huo.Mpango huo umezinduliwa rasmi Kanda ya Ziwa na Dkt.Kamani hii leo ambapo takribani wavuvi 30 wamejiunga na NSSF kupitia Mpango wa Wavuvi Scheme.
Miongoni mwa Wavuvi (Kushoto) akisajiliwa ili kujiunga rasmi na Shirika la Taifa la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kupitia mpango wa Wavuvi Scheme ambao ni mahususi kwa ajili ya Wavuvi akijiandikisha ili kuwa Mwanacha rasmi wa Mfuko huo.Mpango huo umezinduliwa rasmi Kanda ya Ziwa na Dkt.Kamani hii leo ambapo takribani wavuvi 30 wamejiunga na NSSF kupitia Mpango wa Wavuvi Scheme.
Na:George Binagi.

No comments:

Powered by Blogger.