KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI ATEMBELEA MABANDA YA WIZARA YAKE KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA.
Afisa wa Jeshi
la Magereza Nchini, Nsajigwa Mwankenja (kulia), akimpa maelezo Katibu Mkuu wa Wizara
ya Mambo yaNdani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil kuhusu huduma zinazotolewa na Jeshi
hilo, alipotembelea banda la Wizara hiyo wakati wa maonyesho ya Wiki ya Utumishi
wa Umma yanayoendelea katika Viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam.
Picha zote na Wizara ya
Mambo yaNdani ya Nchi.
Katibu Mkuu wa
Wizara ya Mambo yaNdani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil, akiuliza swali mara baada ya
kutembelea banda la Idara ya Uhamiaji wakati wa maonyesho ya Wiki ya Utumishi wa
Umma yanayoendelea katika Viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil, akisoma vipeperushi vya Idara
ya Uhamiaji wakati alipotembelea Idara hiyo katika maonyesho ya Wiki ya Utumishi
wa Umma yanayoendelea katika Viwanja vya Mnazi Mmoja,jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil, akiangalia zao la muhogo linalolimwa
na Jeshi la Magereza mara baada ya kutembelea banda la Jeshi hilo wakati wa maonyesho
ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea katika Viwanja vya Mnazi Mmoja,jijini
Dar es Salaam.
Katibu
Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil, akiweka saini katika
kitabu cha wageni mara baada ya kutembelea banda la Mamlaka ya Vitambulisho vya
Taifa (NIDA), wakati wa maonyesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma ya nayoendelea katika
Viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam.
Afisa Habari
Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Rose Mdami (kulia)
akimuelekeza Mkurugenzi wa Mamlaka ya Bima nchini (TIRA),Israel Kamuzora,
kujaza fomu ya kuomba kitambulisho cha Taifa wakati wa maonyesho ya Wiki
yaUtumishi wa Umma yanayoendelea katika Viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es
Salaam.
No comments: