MWAMINI MALEMI AFUNGUA MKUTANO WA TEKNOLOJIA NA HUDUMA ZA ULINZI WA UMMA.
Naibu Katibu Mkuu Wizaraya Mambo
yaNdani ya Nchi,
Mwamini Malemi akifungua juzi Mkutano wa Teknolojia na Huduma za Ulinzi wa Umma katika Hoteli ya
Double Tree Jijini Dar es Salaam. Mkutano huu unawashirikisha wadau wa sekta Teknolojia ya Usalama kutoka nchini Ujerumani na Tanzania.
PICHA NA ABUBAKARI AKIDA-WIZARA
YA MAMBO YA NDANI
Sehemu ya washiriki wa mkutano wa Teknolojia na Huduma za Ulinzi wa Umma wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya
Mambo yaNdani ya Nchi, Mwamini Malemi (hayupopichani)
wakati akifungua mkutano huo katika Hoteli ya Double Tree Jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya washiriki wa mkutano wa Teknolojia na Huduma za Ulinzi wa Umma wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo yaNdani ya Nchi, Mwamini Malemi (hayupopichani) wakati akifungua mkutano huo katika Hoteli ya Double Tree Jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya washiriki wa mkutano wa Teknolojia na Huduma za Ulinzi wa Umma wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo yaNdani ya Nchi, Mwamini Malemi (hayupopichani) wakati akifungua mkutano huo katika Hoteli ya Double Tree Jijini Dar es Salaam.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo
ya Ndani ya Nchi, Mwamini Malemi (katikati) akifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa katika mkutano wa Teknolojia na Huduma za Ulinzi wa Umma unaofanyika katika Hoteli ya
Double Tree Jijini Dar es Salaam.
No comments: