BINAGI RADIO: WATANZANIA WATAKIWA KUJENGA IMANI NA WAKANDARASI WAZALENDO.
Jengo la Kibiashara linalojengwa na Kampuni ya
Kigeni Jijini Mwanza.
Watanzania
wameshauriwa kujenga imani na Wakandarasi wa ndani na hivyo kutoa tenda za
ujenzi kwa Makampuni ya kizalendo badala ya kuwategemea wakandarasi kutoka nje
ya nchi.
Binagi Media Group kupitia Binagi Radio inakujuza habari hii kwa njia ya Sauti.
Binagi Media Group kupitia Binagi Radio inakujuza habari hii kwa njia ya Sauti.
Bonyeza Play Hapa Chini Kusikiliza
Bonyeza HAPA Kusoma Habari Hii
No comments: