LIVE STREAM ADS

Header Ads

WENJE AJIVUNIA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO JIMBONI KWAKE. AOMBA RIDHAA KWA MARA NYINGINE.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema juzi ijumaa kilizindua rasmi kampeni zake za Uchaguzi Mkuu katika Jimbo la Nyamagana Mkoani Mwanza ambapo mgombea Ubunge wa Jimbo hilo Ezekiel Wenje amewaomba wananchi kumpatia ridhaa kwa mara nyingine ili kuwa mwakilishi wao mbungeni.
SIKILIZA HABARI KAMILI HAPA CHINI
 Bonyeza HAPA Kuona Picha za Uzinduzi huo

No comments:

Powered by Blogger.