AUDIO: CCM MKOANI MWANZA KUMFUNGULIA WENJE KESI YA MADAI.
Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Mwanza, leo imefuta kesi ya kupinga
matokeo ya uchaguzi jimbo la Nyamagana Mkoani Mwanza, lililokuwa limefunguliwa
na aliekuwa mgombea wa Chadema Ezekiel Wenje akipinga ushindi wa mbunge wa
jimbo hilo Stanslaus Mabula (CCM).
Bonyeza HAPA Kusikiliza Habari Kamili.
Bonyeza HAPA Kutazama Ilivyokuwa.
No comments: