KAIMU KATIBU MKUU UVCCM TAIFA APOKELEWA KWA SHANGWE MKOANI MANYARA.
Kaimu Katibu Mkuu
UVCCM Taifa, Shaka Hamdu Shaka akivikwa skafu mara baada ya kupokelewa jana kwa shangwe na
wananchi pamoja na viongozi wa CCM na Jumuiya zake Mkoani Manyara.
Shaka yuko Mkoani humo kwa ajili ya ziara ya kikazi iliyolena kukijenga na kuiimarisha chama.
Kaimu Katibu Mkuu
UVCCM Shaka Hamdu Shaka akiongozana na wana CCM kuelekea katika shughuri za
kusaidia ujenzi wa Shule ya MATUFWA ilioko Wilaya ya Babati Vijijini Mkaoni Manyara.
Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka akishirikiana
na Wananchi katika shughuli ya usombaji
matofali katika Shule ya Matufwa Wilaya ya Babati Vijijini
Kikundi cha Ngoma Msanja Magugu Kikitoa burudani katika
Mkutano wa Hadhara.
Kaimu Katibu Mkuu
UVCCM Shaka HAMDU Shaka akisimikwa na Mzee wa kimila na kukabidhiwa Fimbo kama
Ishara ya kumlinda na kumuongoza awapo katika Mkoa wa Manyara.
Baadhi
ya Wanachama Wapya wa jumuiya ya UVCCM Wakila kiapo cha jumuiya mara baada ya
Kukabidhiwa kadi za kujiunga na uanachama
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Manyara (mwenye inasa sauti) akimkaribisha Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa, Shaka Hamdu Shaka kuzungumza na Wananchi wa kata ya
Magugu katika kijiji cha Matufwa
Kaimu Katibu Mkuu
UVCCM Taifa, Shaka Hamdu Shaka akizungumza katika Mkutano wa Hadhara ulio fanyika katika
kijiji cha Matufwe.
Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa, Shaka Hamdu Shaka akizungumza katika Mkutano wa Hadhara ulio fanyika katika kijiji cha Matufwe.
Mama akimsikiliza kwa umakini mkubwa, Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka
Kaimu Katibu Mkuu
UVCCM Taifa, Shaka Hamdu Shaka baada ya kumaliza Mkutano akielekea ofisi ya CCM Mkoa Wa
Manyara na upokelewa na Katibu Wa CCM Mkoani humo.
Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Shaka H Shaka akionyeshwa
baadhi ya Maeneo yalio ungua katika jengo hilo
Kaimu Katibu Mkuu
UVCCM Taifa,Shaka Hamdu Shaka akizindua shina la
wakereketwa wa CCM katika wilaya ya Hanang kata ya Endasaka Mkoani Manyara.
Katibu Wa Wilaya ya Hanang akizungumza katika Mkutano wa
Hadhara Ulio fanyika kata ya Endasaki
Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa, Shaka Hamdu Shaka akihutubia
Wananchi wa Wilaya Ya Hanang, Kata ya Endasaki Mkoani Manyara.
Mkazi wa Hanang akimsikiliza kwa umakini, Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa, Shaka Hamdu Shaka katika mkutano wa hadhara uliofanyika Wilayani humo.
Picha Fahad Siraji.
No comments: